Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo (kuia) akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Iceland, Kolbeinn Sigthorsson katika mchezo wa Kundi F Euro 2016 Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Luis Nani akianza kuifungia Ureno kabla ya Birkir Bjarnason kuisawazishia Uceland. Mchezo mwingine wa Kundi F jana, Hungary iliifunga Austria 2-0, mabao ya Adam Szalai na Zoltan Stieber Uwanja wa Matmut Atlantique, Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England number eight Vunipola arrested in Majorca
-
England number eight Billy Vunipola is arrested in Spain following an
alleged incident in a bar in the early hours of Sunday morning.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment