Mshambuliaji wa Ufaransa, Dimitri Payet akitimba kibendera cha kona kwa furaha baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 na zaidi usiku wa Jumatano katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi A Euro 2016. Bao la kwanza la Ufaransa lilifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 90 baada ya kuingia dakika ya 68 kuchukua nafasi ya Kingsley Coman PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea 0-2 Barcelona (1-2 agg): Blues dealt Champions League heartbreak as
controversial semi-final second-leg defeat knocks them OUT - with Aitana
Bonmati and Fridolina Rolfo on target
-
KATHRYN BATTE AT STAMFORD BRIDGE: The problem with playing the best team in
the world over two legs is that you need to produce a perfect performance
twice.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment