Mshambuliaji wa Ufaransa, Dimitri Payet akitimba kibendera cha kona kwa furaha baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 90 na zaidi usiku wa Jumatano katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Albania Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa kwenye mchezo wa Kundi A Euro 2016. Bao la kwanza la Ufaransa lilifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 90 baada ya kuingia dakika ya 68 kuchukua nafasi ya Kingsley Coman PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionesses on tour! Ella Toone takes her England team-mates to Ibiza for her
hen do, weeks before her wedding - where her fiancé says football chat is
BANNED!
-
Lionesses star Ella Toone has been celebrating her recent engagement in
style in Ibiza alongside her England team-mates and other women's football
players.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment