Beki wa zamani wa Arsenal, Thomas Vermaelen wa Barcelona (kushoto) akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Santi Mina wa Valencia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme usiku huu Uwanja wa Mestalla. Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Valencia likifungwa na Alvaro Negredo daki ka ya 39, kabla ya Wilfrid Kaptoum kuisawazishia Barca zikiwa zimebaki dakika tano, Barca imetinga fainali ya Copa del Rey kwa ushindi wa jumla wa 8-1 baada ya awali kushinda 7-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious row breaks out at Cheltenham Festival between rival jockeys - as
one accuses the other of 'abuse' in front of his wife and kids
-
Amateur jockey Declan Queally has claimed he was 'abused' by Nico de
Boinville before the opening race on the second day of the Cheltenham
Festival.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment