Beki wa zamani wa Arsenal, Thomas Vermaelen wa Barcelona (kushoto) akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Santi Mina wa Valencia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme usiku huu Uwanja wa Mestalla. Timu hizo zimetoka 1-1, bao la Valencia likifungwa na Alvaro Negredo daki ka ya 39, kabla ya Wilfrid Kaptoum kuisawazishia Barca zikiwa zimebaki dakika tano, Barca imetinga fainali ya Copa del Rey kwa ushindi wa jumla wa 8-1 baada ya awali kushinda 7-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Celtics' Jayson Tatum Explains Why He Wanted to Face Heat in NBA Playoffs
1st Round
-
Boston Celtics forward Jayson Tatum says his team was "relaxed" during last
season's first-round series against the Atlanta Hawks, and that he wanted
to st...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment