• HABARI MPYA

    Monday, May 04, 2015

    BENZEMA NJE KESHO REAL IKIWAVAA JUVE LIGI YA MABINGWA

    MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Karim Benzema hajapona maumivu yake ya goti na ameachwa kwenye kikosi cha timu hiyo kitakachomenyana na wenyeji Juventus katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
    Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Ufaransa alipata maumivu hayo katika Robo Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya dhidi ya Atletico Madrid mwezi uliopita na ni jana tu alianza mazoezi, kocha Carlo Ancelotti hajamuorodhesha kwenye kikosi cha mechi ya kesho.
    Mshambuliaji wa Real, Mmexico, Javier Hernandez anaweza akaanza badala ya Benzeam mjini Turinsambamba na Cristiano Ronaldo na Gareth Bale, ambaye alirejea katika ushindi wa 3-2 dhidi ya SevilaKarim Benzema will not be fit to play in Real Madrid's Champions League semi-final first leg against Juventus

    Karim Benzema ataendelea kuwa bencni kesho Real Madrid ikimenyana na Juventus
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BENZEMA NJE KESHO REAL IKIWAVAA JUVE LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top