// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); VICTOR VALDES KUPEWA LANGO IJUMAA MAN UNITED KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE VICTOR VALDES KUPEWA LANGO IJUMAA MAN UNITED KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, January 20, 2015

    VICTOR VALDES KUPEWA LANGO IJUMAA MAN UNITED KOMBE LA FA

    KIPA Victor Valdes anatarajiwa kuanza kuidakia Manchester United katika mchezo wa Kombe la FA Raundi ya Nne dhidi ya Cambridge United Ijumaa usiku Uwanja wa Abbey.
    Mlinda mlango huyo wa zamani wa Barcelona, aliyeshinda mataji matatu ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Dunia, atawadakia Mashetani Wekundu kwa mara ya kwanza tangu ajiunge nayo dhidi ya timu hiyo ya Daraja la Pili, kwenhye Uwanja wa mashabiki 8,100.
    Valdes, aliyezaliwa miaka 33 iliyopita, amesaini Mkataba wa miezi 18 Old Trafford mapema mwezi huu na alikuwa benchi katika mechi za Ligi Kuu ya England dhidi ya QPR na Southampton, kama kipa wa akiba wa David de Gea.
    Victor Valdes is set to make his Manchester United debut against Cambridge in the FA Cup fourth round
    Victor Valdes anajiandaa kuidakia Manchester United dhidi ya Cambridge katika Raundi ya Nne Kombe la FA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VICTOR VALDES KUPEWA LANGO IJUMAA MAN UNITED KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top