// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); REAL MADRID YAICHAPA 3-0 GETAFE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE REAL MADRID YAICHAPA 3-0 GETAFE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, January 18, 2015

    REAL MADRID YAICHAPA 3-0 GETAFE

    REAL Madrid imezinduka baada ya kung’olewa na Atletico Madird katika Kombe la Mfalme katikati ya wiki, baada ya leo kuichapa Getafe mabao 3-0 katika La Liga.
    Mwanasoka Bora wa Dunia mara mbili mfululizo na mara tatu jumla, Cristiano Ronaldo alifunga bao la kwanza dakika ya 63 baada ya kazi nzuri ya Karim Benzema.
    Winga wa zamani wa Tottenham, Gareth Bale akafunga la pili dakika ya 67 kabla ya mmiliki Ballon d’Or, Ronaldo kufunga la tatu dakika ya 79.  
    Kikosi cha Getafe kilikuwa; Codina, Alexis, Lago, Naldo, Velazquez; Rodriguez, Leon/Yoda dk74, Sammir/Felip dk83, Castro, Sarabia/Hinestroza dk56 na Vazquez.
    Real Madrid; Casillas, Ramos, Marcelo/Nacho dk82, Carvajal, Varane, Kroos/Ilarramendi dk82, Isco/Khedira dk78, Rodriguez, Bale, Ronaldo na Benzema.
    Cristiano Ronaldo celebrates with Karim Benzema, who worked hard to set up  his team-mate for the opening goal of the game
    Cristiano Ronaldo akishangilia na Karim Benzema aliyempikia bao la kwanza kati ya mawili aliyofunga katika ushindi wa 3-0 wa Real dhidi ya Getafe

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2915389/Getafe-0-3-Real-Madrid-Cristiano-Ronaldo-bags-brace-Gareth-Bale-scores.html#ixzz3PBf0Sw7j 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAICHAPA 3-0 GETAFE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top