// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MUHAMMAD ALI NA BINTI YAKE TAYARI KWA PATI LA MIAKA 73 YA KUWA DUNIANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MUHAMMAD ALI NA BINTI YAKE TAYARI KWA PATI LA MIAKA 73 YA KUWA DUNIANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, January 18, 2015

    MUHAMMAD ALI NA BINTI YAKE TAYARI KWA PATI LA MIAKA 73 YA KUWA DUNIANI

    GWIJI wa ngumi, Muhammad Ali amepiga picha akifurahia kuzaliwa kwake pamoja na familia ya kutoka hospitali.
    Ali, ambaye amefikisha miaka 73 jana, ametokea akiwa na binti yake, Maryum Ali, ambaye ameposti picha hiyo kwenye Twitter.
    Picha hiyo imepigwa nyumbani kwake mbabe huyo wa zamani mjini Scottsdale, Arizona, ikimuonyesha bondia huyo ambaye anasumbuliwa na maradhi ya kiharusi akiwa kwenye kiti, nyuma yupo binti yake huyo.
    Muhammad Ali, who was 73 on Saturday, posed for this picture with his daughter, Maryum
    Muhammad Ali, ambaye amefikisha miaka 73 jana akiwa na binti yake, Maryum

    Ameandika: "Baba yangu, aka. Muhammad Ali, yupo nyumbani anajiandaa kusherehekea miaka 73 ya kuzaliwa kwake kesho,".
    Alitolewa hospitali mapema wiki hii kutokana na matatizo ya kibofu cha mkojo yaliyogundulika mwezi uliopita.
    Ali, a three-time world champion, is seen above knocking Chuck Wepner against the ropes at a 1975 bout i
    Ali, bingwa wa dunia mara tatu uzito wa juu, enzi zake pichani akimkalisha Chuck Wepner katika pambano la mwaka 1975
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MUHAMMAD ALI NA BINTI YAKE TAYARI KWA PATI LA MIAKA 73 YA KUWA DUNIANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top