// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAN UNITED YAPEWA TENA VIBONDE RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAN UNITED YAPEWA TENA VIBONDE RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, January 06, 2015

    MAN UNITED YAPEWA TENA VIBONDE RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA

    TIMU ya Manchester United imepangiwa tena mpinzani kibonde, wa Daraja la Pili katika Raundi ya nne ya Kombe la FA, Cambridge United. 
    Kikosi cha Louis van Gaal kitasafiri hadi Uwanja wa Abbey mwishoni mwa January wakati Mholanzi huyo akipambana na kukata kiu ya miaka 11 ya United kutottwaa Kombe la FA. 
    Mashetani hao Wekundu walifuzu wamefuzu hatua hiyo baada ya kuifunga 2-0 timu ya Daraja la Kwanza, Yeovil Town katika Raundi ya Tatu.  
    Angel di Maria and his Manchester United team-mate will face League Two outfit Cambridge United 
    Angel di Maria na wachezaji wenzake wa Manchester United watamenyana na timu ya Daraja la Pili, Cambridge United 

    RATIBA RAUNDI YA NNE KOMBE LA 

    Southampton/Ipswich vs Crystal Palace
    Cambridge vs Manchester United
    Blackburn vs Swansea
    Chelsea vs Millwall/Bradford
    Derby vs Scunthorpe/Chesterfield
    Preston vs Sheffield United
    Birmingham City vs West Brom
    Aston Villa vs Bournemouth
    Cardiff vs Reading
    Liverpool vs Bolton
    Burnley/Tottenham vs Leicester
    Brighton vs Arsenal
    Rochdale vs Stoke
    Sunderland vs Fulham/Wolves
    Doncaster/Bristol City vs Everton/West Ham
    Manchester City vs Middlesbrough
    Mechi zitachezwa wikiendi ya Januari 24 na 25 mwaka 2015
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAPEWA TENA VIBONDE RAUNDI YA NNE KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top