![]() |
Mrisho Ngassa wa Yanga SC akimtoka beki wa JKT Ruvu Madenge Ramadhani |
![]() |
Kiungo wa Yanga SC, Hassan Dilunga akimtoka beki wa JKT Ruvu, George Minja |
![]() |
Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akiwatoka mabeki wa JKT Ruvu jana |
![]() |
Kiungo wa JKT Ruvu, Jabir Aziz akiugulia maumivu baada ya kuchezewa rafu na Hassan Dilunga wa Yanga (chini) |
![]() |
Haruna Niyonzima wa Yanga SC akimtoka mchezaji wa JKT Ruvu |
![]() |
Beki wa JKT Ruvu, Mohamed Fakhi akiupitia mpira katikati ya miguu ya Mrisho Ngassa wa Yanga |
![]() |
Beki wa Yanga SC, Edward Charles akimtoka George Minja wa JKT Ruvu |
0 comments:
Post a Comment