• HABARI MPYA

    Thursday, October 02, 2014

    RONALDO KUREJEA OLD TRAFFORD MWEZI UJAO URENO IKIVAANA NA ARGENTINA KIRAFIKI

    MASHABIKI wa Manchester United wanaoendesha kampeni ya ‘Njoo Nyumbani Ronaldo’ wanaonekana kuanza kufanikiwa mapema katakana na Cristiano Ronaldo kuwa na ratiba ya kurejea Old Trafford mapema mwezi ujao.
    Vyanzo vya habari kutoka ndani ya Chama cha Soka Argentina vimesema kutakuwa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya Argentina na Ureno uliopangwa kufanyika Novemba 18.
    Mchezo huo utawapa nafasi nyingine ya 'dhahabu' mashabiki wa United kumshawishi mshambuliaji huyo wa Real Madrid arejee Old Trafford.

    Cristiano Ronaldo and Lionel Messi will go head-to-head at Old Trafford in an international friendly match
    Cristiano Ronaldo and Lionel Messi will go head-to-head at Old Trafford in an international friendly match
    Cristiano Ronaldo na Lionel Messi kulia watakutana katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Old Trafford mwezi ujao
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO KUREJEA OLD TRAFFORD MWEZI UJAO URENO IKIVAANA NA ARGENTINA KIRAFIKI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top