![]() |
Aveva akihutubia wanachama wa tawi hilo |
![]() |
Zao la Msimbazi; Wachezaji waliopandishwa kutoka timu ya vijana ya Simba SC, kutoka kulia Said Ndemla, Abdallah Seseme, William Lucian 'Gallas' na Ibrahim Hajibu wakipata chakula katika sherehe hizo |
![]() |
Wa Gor Mahia; Kutoka kulia kocha Zdravko Logarusic, beki Donald Mosoti na kipa Ivo Mapunda, wote walijiunga na Simba SC Desemba mwaka jana kutoka Gor Mahia ya Kenya |
![]() |
Wa Manungu; Kutoka kulia kipa Hussein Sharrif 'Cassilas', kiungo Shaaban Kisiga na beki Issa Rashid 'Baba Ubaya' ambao wote wamesajiliwa kutoka Mtibwa Sugar |
![]() |
Wachezaji wa Simba SC wakijadiliana jambo katika sherehe hizo |
![]() |
Hii ni foleni ya kuekekea kwenye msosi |
![]() |
Pierre Kwizera akijipimia chakula kwenye sherehe hizo |
![]() |
Hitimisho; Wachezaji na viongozi katika picha ya pamoja baada ya shughuli |
0 comments:
Post a Comment