MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014.
Peter FitzSimons reignites his feud with James Graham after the footy star
called him a 'parasite'
-
Columnist and renowned author Peter FitzSimons has reignited his ugly feud
with James Graham after the former footy star turned NRL commentator
recently ca...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment