• HABARI MPYA

    Tuesday, April 01, 2014

    YUSSUF BAKHRESA KUGOMBEA UENYEKITI SIMBA SC

    MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YUSSUF BAKHRESA KUGOMBEA UENYEKITI SIMBA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top