MDAU wa soka, Yussuf Bakhresa amejitolea kugombea Uenyekiti wa Simba SC katika uchaguzi ujao. Yussuf, mkazi wa Gongolamboto, Dar es Salaam, amechukua fomu za kugombea nafasi hiyo leo makao makuu ya jeshi la Polisi na amesema anataka kuifanya klabu hiyo iwe maarufu nchini. Lakini amesema atarejesha fomu hizo iwapo tu atajitokeza mwanachama mwingine kuomba nafasi hiyo. 1st April, 2014.
Under-fire Spurs interim boss Igor Tudor makes honest admission about
Champions League tie against Atletico Madrid amid Premier League survival
battle
-
MATT BARLOW IN MADRID: There's a quirk of cruelty about sending Tottenham
back to the Metropolitano for the first time right now, rekindling glories
of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment