• HABARI MPYA

    Sunday, April 07, 2013

    SAMATTA NA ULIMWENGU KAZINI AFRIKA LEO

    Washambuliaji wawili wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Ulimwengu (kushoto) na Mbwana Samatta (kulia), leo wanatarajhiwa kuiongoza klabu yao, Tout Puissant Mazembe katika mchezo wa marudiano Raundi ya Pili Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mochudi Centre Chiefs ya Botswana mjini Lubumbashi. Mazembe ilishinda 1-0 ugenini, bao pekee la Samatta na leo wakiwa nyumbani, mvua ya mabao inatarajiwa kuwanyeshea Waswana.  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SAMATTA NA ULIMWENGU KAZINI AFRIKA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top