Waombolezaji... |
Waombolezaki King Kiff na Mzee Yussuf... |
Kaburi la marehemu tayari kwa mwili wake kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele |
Shekhe akitoa hotuba kabla ya mazishi... |
Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mwanaspoti, Frank Sanga (kushoto) akiwa na Kaimu Mhariri Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu kulia katika mazishi hayo. Marehemu Fatma alikuwa mke wa Mjumbe wa Bodi ya MCL, Mohamed Rweyemamu. |
Wadogo wa marehemu; Saidy Mdoe na Sunday kulia katika huzuni makaburini |
Meneja Mkuu wa Global Publishers Limited...Abdallah Mrisho 'Abby Cool' (mwenye miwani) alikuwepo msibani... |
Ndugu, jamaa na marafiki waliojitokeza kumsindikiza mpendwa wao Fatma katika safari yake ya mwisho... |
Ally Mafruk kulia na kaka wa marehemu, Juma Mdoe kushoto |
Ndugu na jamaa wakimsaidia Saidy Mdoe kutoka kaburini baada ya kuuhifadhi mwili wa marehemu |
Hapa wanamsaidia Sunday Mdoe... |
Mzee Chillo kulia alikuwa mmoja wa walioguswa na msiba huo... |
Waombolezaji... |