Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akishangilia bao lake la pili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa KCOM. Sanchez alifunga dakika za 17 na 83, wakati mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 55 na Granit Xhaka dakika ya 90 na ushei, huku la wenyeji likifungwa na Robert Snodgrass kwa penalti dakika ya 79, baada ya kipa Petr Cech kumchezea rafu Dieumerci Mbokani kwenye boksi. Beki wa Hull, Jake Livermore alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuzuia shuti la Francis Coquelin kwa mkono PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Field Yates Says Chiefs Picking Xavier Worthy Was Best Trade of 2024 NFL
Draft
-
The Kansas City Chiefs didn't move up the board too much to take Texas wide
receiver Xavier Worthy in the 2024 NFL draft, but it was the most savvy
deal so…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment