Mshambuliaji Wayne Rooney akiondoka uwanjani baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 24 timu yake, D.C. United ikichapwa 2-1 na New York Red Bulls katika mchezo wa Ligi Kuu ya Marekani Uwanja wa Audi Field mjini Washington DC hiyo ikiwa kadi ya pili nyekundu kwake tangu ahamie Marekani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria, China to hold political consultation meeting
-
Nigeria and China will hold a political consultation meeting in July 2026
as both nations deepen strategic cooperation and bilateral ties.
The post Niger...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment