WACHEZAJI wa Yanga SC kutoka kulia Lawrence Mwalusako, mchezaji mwalikwa kutoka Simba, Deo Njohole ‘OCD’, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Ramadhani Kilambo na Wastara Baribari aliyeipa mgongo kamera wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa kirafiki mwaka 1991 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Njohole akiisawazishia Yanga baada ya The Cranes kutangulia kwa bao la Majid Musisi (sasa marehemu).
European Aquatics Championships: 'Amazing' Freya Anderson seals silver for GB in mixed 4x100m freestyle final
-
Watch as Great Britain's Freya Anderson swims an "amazing" final leg to win
silver for her team in the mixed 4x100m freestyle final at the European
Aquatic...
Dakika 39 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni