WACHEZAJI wa Yanga SC kutoka kulia Lawrence Mwalusako, mchezaji mwalikwa kutoka Simba, Deo Njohole ‘OCD’, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Ramadhani Kilambo na Wastara Baribari aliyeipa mgongo kamera wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa kirafiki mwaka 1991 dhidi ya timu ya taifa ya Uganda Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 1-1, Njohole akiisawazishia Yanga baada ya The Cranes kutangulia kwa bao la Majid Musisi (sasa marehemu).
Future NFL Hall of Famer and two-time Super Bowl champ Von Miller, 37,
signs with new team... after teasing bombshell return to the Buffalo Bills
-
Miller, a future Hall of Fame linebacker who has the most career sacks of
any active NFL player with 138.5, was once again a free agent after
spending a se...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment