Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sydney Swans players caught up in alleged 'sexual assault' incident at
Melbourne hotel as police swarm venue
-
A serious alleged incident involving several Sydney Swans players is being
investigated at the Pullman East Melbourne.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment