Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao mawili dakika za 49 kwa penalti na 58 katika ushindi wa Liverpool wa 3-1 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool limefungwa na Joel Matip dakika ya 41 na bao pekee la Arsenal limefungwa na Lucas Torreira dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wimbledon champion Marketa Vondrousova, 24, reveals she's getting divorced
from husband of two years - and he's taking the cat he missed her run to
the SW19 final to look after!
-
Reigning Wimbledon champion Marketa Vondrousova has revealed she broke up
with her husband of two years, just months after he celebrated her triumph
on Cen...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment