Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao mawili dakika za 15 na 64 katika ushindi wa 3-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya wenyeji, Bournemouth Uwanja wa Vitality. Bao la pili la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 43, wakati la Bournemouth limefungwa na Harry Wilson dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sextortion: FBI arrests 22 Nigerians after multiple teen suicides
-
By John Ogunsemore The Federal Bureau of Investigation (FBI) has arrested
22 Nigerians allegedly involved in a financially motivated sextortion
scheme th...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment