Mshambuliaji Mohamed Salah akiifungia Liverpool bao la pili dakika ya 19 baada ya Grant Hanley kujifunga dakika ya saba katika harakati za kuokoa krosi ya Divock Origi kuwapatia Wekundu hao bao la kuongoza katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 28 na Origi dakika ya 42, wakati la Norwich City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu lilifungwa na Teemu Pukki dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment