Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No player bigger than a club - is that changing for some fans?
-
From Lionel Messi and Cristiano Ronaldo to Erling Haaland and Jude
Bellingham, are star names a bigger draw than clubs for young fans?
18 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment