Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Will Smeed hits scintillating first century of The Hundred as he announces himself on the big stage
-
The 20-year-old's scintillating 101 not out from 50 balls included six
sixes and eight fours as he helped his side to 176/4 from their 100 balls,
before Sp...
Dakika 28 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni