Kipa Mspaniola, Adrian San Miguel del Castillo akipangua mkwaju wa penalti wa Tammy Abraham kuiwezesha Liverpool kutwaa taji la Super Cup la UEFA baada ya kuifunga Chelsea kwa penalti 5-4 kufuatia sare ya 2-2 ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja Vodafone Arena mjini İstanbul, Uturuki. Adrian ni kipa wa pili, ambaye jana alianza kwa sababu kipa wa kwanza, Alisson ni majeruhi baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Norwich Ijumaa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keon Coleman Pick Excites Bills Fans After Deebo Samuel Trade Rumors amid
NFL Draft
-
It was no secret that the Buffalo Bills needed help at wide receiver this
offseason after parting ways with Stefon Diggs and Gabe Davis. With the
first pick…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment