AISHI MANULA AANZA MAZOEZI SIMBA SC IKIJIANDAA KUIVAA UD SONGO JUMAPILI TAIFA
Kipa namba moja wa Simba SC, Aishi Manula aliyekosekana mwezi wote huu kutokana na maumivu akifanya mazoezi mepesi kuelekea mchezo na UD Songo ya Msumbiji katika Ligi ya Mabingwa Afrika Jumapili
Aishi Manula hakuwepo kwenye mchezo wa kwanza Simba ikilazimisha sare ya 0-0 ugenini
Kurejea kwa Aishi Manula ni habari njema kwa klabu yake
Wachezaji wengine wa Simba wakiwa mazoezini uwanja wa Gymkhana
Simba SC inahitaji ushindi wa nyumbani baada ya sare ya ugenini kwenye mchezo wa kwanza
Das Feiertagsmagazin mit Marius Wolf
-
Marius Wolf ist Nobbys Gast im Feiertagsmagazin. Die beiden sprechen über
den Konkurrenzkampf im Team und das anstehende Spiel gegen Aufsteiger
Werder Brem...
18 terminal operators owe FG N490bn
-
By Steve Agbota Fresh facts have emerged on how an estimated N490 billion
is reportedly being owed the Nigerian Ports Authority (NPA) by 18 terminal
oper...
Are Rwandans obsessed with litigation?
-
Despite recent efforts by the judiciary to encourage people to opt for a
conciliatory approach to dispute resolution instead of everything having to
end ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni