Teemu Pukki akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 63 na 75 katika ushindi wa Norwich City wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Bao la Newcastle limefungwa na Jonjo Shelvey dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather's US passport is set to be REVOKED over $7m tax debt
-
Mayweather, who earned more than $1bn over the course of his boxing career,
has been notified by the IRS of its intention to take his papers over an
unreso...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment