• HABARI MPYA

    Saturday, August 17, 2019

    PUKKI APIGA HAT TRICK YA KWANZA YA MSIMU, NORWICH YASHINDA 3-1

    Teemu Pukki akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 63 na 75 katika ushindi wa Norwich City wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Bao la Newcastle limefungwa na  Jonjo Shelvey dakika ya 90 na ushei 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PUKKI APIGA HAT TRICK YA KWANZA YA MSIMU, NORWICH YASHINDA 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top