Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No player bigger than a club - is that changing for some fans?
-
From Lionel Messi and Cristiano Ronaldo to Erling Haaland and Jude
Bellingham, are star names a bigger draw than clubs for young fans?
18 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment