Mshambuliaji mpya, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na 50, Barcelona ikiibuka na ushindi wa 5-2 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Carles Perez dakika ya 56, Jordi Alba dakika ya 60 na Arturo Vidal dakika ya 77, wakati ya Betis yamefungwa na Nabil Fekir dakika ya 15 na Loren Moron dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: FA did NOT discuss controversial decision to scrap replays with
FA Cup Committee - as details emerge of heated meeting with EFL
representatives
-
The FA's controversial move to scrap FA Cup replays from next season was
not discussed by the governing body's FA Cup Committee in another
indication of th...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment