Mshambuliaji mpya, Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na 50, Barcelona ikiibuka na ushindi wa 5-2 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Carles Perez dakika ya 56, Jordi Alba dakika ya 60 na Arturo Vidal dakika ya 77, wakati ya Betis yamefungwa na Nabil Fekir dakika ya 15 na Loren Moron dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gold Coast Titans coach Garth Brennan admits NRL coaching takes its toll after Paul Green death
-
Sacked Titans coach Garth Brennan has spoken out about the private pain he
felt post his 2019 dumping - saying Paul Green did it tough after two
consecutiv...
Dakika 38 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni