Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 51, 75 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya West Ham United Uwanja wa London. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 25 na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlo Ancelotti hits back at Bernardo Silva after he called Real Madrid a
'weird team' following Manchester City's Champions League exit... as his
side prepare for Bayern Munich clash
-
Reigning champions City were beaten 4-3 on penalties by Madrid after a 1-1
draw at the Etihad - with the score 4-4 on aggregate - despite the home
side dom...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment