Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 51, 75 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya West Ham United Uwanja wa London. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 25 na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Joshua fights back tears as he dedicates dramatic victory over
Kristian Prenga to two best friends killed in car crash as he recovers from
TWO knockdowns to win on return
-
CHARLOTTE DALY IN JEDDAH: Joshua, twice dropped by Prenga in the first
round before knocking him out in the second, admitted it had been 'tough'.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment