Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 51, 75 na 90 na ushei katika ushindi wa 5-0 dhidi ya West Ham United Uwanja wa London. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Gabriel Jesus dakika ya 25 na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Santa Clara beats No. 21 Saint Mary's 76-71, advances to WCC title game vs
Gonzaga
-
Sash Gavalyugov scored 23 points including a back-breaking 3-pointer to
lead Santa Clara to a 76-71 victory over No. 21 Saint Mary's in the
semifinals of t...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment