Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Tributes pour in for teenage Sydney soccer player who died suddenly after
collapsing during match
-
The family of Sydney teenager Enzo Santiago Alves is in mourning this week
after the young athlete died suddenly following a health event during a
soccer m...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment