Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
No player bigger than a club - is that changing for some fans?
-
From Lionel Messi and Cristiano Ronaldo to Erling Haaland and Jude
Bellingham, are star names a bigger draw than clubs for young fans?
18 hours ago




.png)
0 comments:
Post a Comment