Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
European Aquatics Championships: 'Amazing' Freya Anderson seals silver for GB in mixed 4x100m freestyle final
-
Watch as Great Britain's Freya Anderson swims an "amazing" final leg to win
silver for her team in the mixed 4x100m freestyle final at the European
Aquatic...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni