Mshambuliaji mkongwe, Aritz Aduriz akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Athletic Bilbao dakika ya 89 kufuatia kutokea benchi dakika ya 88 kuchukua nafasi ya Williams na kuiwezesha timu yake kuichapa 1-0 Barcelona katika mchezo wa ufunguzi wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: Everything to know about England vs Croatia match
-
England and Croatia will renew their modern World Cup rivalry when both
sides clash in a highly anticipated Group L encounter at the 2026 FIFA
World Cup....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment