Mshambuliaji mkongwe, Aritz Aduriz akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Athletic Bilbao dakika ya 89 kufuatia kutokea benchi dakika ya 88 kuchukua nafasi ya Williams na kuiwezesha timu yake kuichapa 1-0 Barcelona katika mchezo wa ufunguzi wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Asante Kotoko granted Caf license to play in the Champions League
-
Ghanaian champions Asante Kotoko have been granted a Confederation of
African Football (Caf) license to play in the 2022/23 Champions League.The
Porcupine ...
Dakika 57 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni