Mkwaju wa penalti uliopigwa na Paul Pogba ukienda juu baada ya kuokolewa na kipa Rui Patricio dakika ya 68 Manchester United ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Uwanja wa Molineux, West Midlands. Penalti hiyo ilitolewa baada ya yeye mwenyewe, Pogba kuangushwa na Conor Coady kwenye boksi katika mchezo ambao Man United walitangulia kwa bao la A. Martial dakika ya 27 kabla ya Ruben Neves kuisawazishia Wolves dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nottingham Forest WILL be sent audio of VAR recordings from 2-0 defeat by
Everton after club's furious statement slamming referees' chiefs - with
controversy to be discussed on TV next week
-
EXCLUSIVE BY MATT HUGHES: Nottingham Forest demanded that audio recordings
of the three incidents be made public in a series of extraordinary
statements re...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment