Mkwaju wa penalti uliopigwa na Paul Pogba ukienda juu baada ya kuokolewa na kipa Rui Patricio dakika ya 68 Manchester United ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Uwanja wa Molineux, West Midlands. Penalti hiyo ilitolewa baada ya yeye mwenyewe, Pogba kuangushwa na Conor Coady kwenye boksi katika mchezo ambao Man United walitangulia kwa bao la A. Martial dakika ya 27 kabla ya Ruben Neves kuisawazishia Wolves dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: Wike will ensure Atiku fails again – Aide
-
Lere Olayinka, the media aide to Federal Capital Territory (FCT) Minister
Nyesom Wike, has declared that the latter will thwart Atiku Abubakar’s 2027
bid...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment