Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville slams Man United for their 'baffling' transfer policy
-
Gary Neville has hit out at Manchester United's rudderless summer in the
transfer window, as the Red Devils continued their disastrous start to the
Premier...
Dakika 21 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni