Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather's US passport is set to be REVOKED over $7m tax debt
-
Mayweather, who earned more than $1bn over the course of his boxing career,
has been notified by the IRS of its intention to take his papers over an
unreso...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment