Pierre-Emerick Aubameyang akiwanyooshea kidole mashabiki kufurahi nao baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 64 ikiilaza Burnley 2-1 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 13, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Colorado's Deion Sanders weighs in on wagering as gambling scandal ripples
through college football
-
DENVER (AP) — Nobody has lived on the edge of the risk-reward nature of
sports more than Deion Sanders over the years.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment