Pierre-Emerick Aubameyang akiwanyooshea kidole mashabiki kufurahi nao baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 64 ikiilaza Burnley 2-1 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 13, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou praises 'brave' Richarlison for opening up on his mental
health struggles - and believes the Tottenham forward's emotional interview
can be a 'conduit for others to reach out for help'
-
The Brazilian, who joined Spurs from Everton in 2022 for £60million,
revealed in a tearful interview earlier this week that he had suffered from
depression...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment