Pierre-Emerick Aubameyang akiwanyooshea kidole mashabiki kufurahi nao baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 64 ikiilaza Burnley 2-1 leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao la kwanza la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 13, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Black Queens coach Kim Björkegren names 24-player squad for Côte d'Ivoire
friendlies
-
Black Queens head coach Kim Lars Bjorkegren has announced a 24-player squad
for the upcoming international friendlies against Cote d'Ivoire, scheduled
for ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment