Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Floyd Mayweather's US passport is set to be REVOKED over $7m tax debt
-
Mayweather, who earned more than $1bn over the course of his boxing career,
has been notified by the IRS of its intention to take his papers over an
unreso...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment