Mshambuliaji Sadio Mane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 37 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Burnley leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor huo ukiwa ushindi wa 13 mfululizo kwenye ligi hiyo. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Chris Wood aliyejifunga dakika ya 33 akijaribu kuokoa krosi ya Trent Alexander-Arnold na Roberto Firmino dakika ya 80 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Future NFL Hall of Famer and two-time Super Bowl champ Von Miller, 37,
signs with new team... after teasing bombshell return to the Buffalo Bills
-
Miller, a future Hall of Fame linebacker who has the most career sacks of
any active NFL player with 138.5, was once again a free agent after
spending a se...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment