Kocha wa Manchester United, Jose Mourinho akiwasili Uwanja wa Ndege wa Manchester, England na wasaidizi wake kutoka Macedonia, ambako jana walifungwa mabao 2-1 na Real Madrid katika mchezo wa Super Cup ya UEFA mjini Skopje. Mourinho sasa anakwenda kuwaandaa vijana wake kwa ajili ya mchezo wa Jumapili dhidi ya West Ham Jumapili Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment