Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I was stuck in the Secret Service's steel ring around Madison Square
Garden... this is what I saw
-
New York does not do things quietly at the best of times but this was
something beyond even the city's usual flair for the dramatic - Midtown
Manhattan was...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment