Wilfried Ndidi akishangilia baada ya kuifungia bao zuri la kwanza Leicester City dakika ya 25 ikiilaza 2-0 Stoke City leo Uwanja wa King Power katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la pili la mabingwa hao watetezi limefungwa na Jamie Vardy dakika ya 47. Ndindi alikuwa sahiba wa Mtanzania, Mbwana Samatta KRC Genk ya Ubelgiji kabla ya kuhamia England Januari PICHA ZAIDI GONGA HAPA
See an angry footy fan's incredible comeback when he's hit with a sickening
insult about his weight on a packed train
-
A fed-up Essendon fan has snapped after copping a tirade of abuse from a
Collingwood supporter while returning home on a packed train from the Anzac
Day cl...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment