Bondia Manny Pacquiao akishangilia baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Jessie Vargas katika pambano la raundi 12 mjini Las Vegas asubuhi hii na kutwaa taji la WBO uzito wa Welter. Pacquiao aliyemdondosha chini Vargas raundi ya pili anafikisha miaka saba bila ushindi wa Knockout (KO) baada ya ushindi wa jana wa pointi, ingawa ameshinda taji la 11 kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville names a VERY different top five Premier League midfielders to
'biased' Jamie Carragher
-
Gary Neville and Jamie Carragher don't often see eye-to-eye and that was
apparent with the pair naming their greatest-ever Premier League
midfielders.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment