Bondia Manny Pacquiao akishangilia baada ya ushindi wa pointi dhidi ya Jessie Vargas katika pambano la raundi 12 mjini Las Vegas asubuhi hii na kutwaa taji la WBO uzito wa Welter. Pacquiao aliyemdondosha chini Vargas raundi ya pili anafikisha miaka saba bila ushindi wa Knockout (KO) baada ya ushindi wa jana wa pointi, ingawa ameshinda taji la 11 kihistoria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Timberwolves coach Chris Finch is injured by his own player after brutal
collision with Mike Conley... as concerned players surround 54-year-old
before he limps away late on in playoff win vs the Suns
-
Finch was sent tumbling to the ground when Timberwolves star Mike Conley
evaded a challenge from Devin Booker and moved towards the sideline before
hitting...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment