MAVUGO ALIVYOANZA KAZI SIMBA SC LEO, HUYU MTU KWELI NOMA!
Mshambuliaji mpya wa Simba, Laudit mavugo (kushoto) akitafakari aende pande zipi baada ya kufanikiwa kumchenga kiungo Mohamed 'Mo' Ibrahim katika mazoezi ya timu hiyo leo asubuhi Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam
Mavugo kama anatoa pasi, kumbe anauweka njiani aanze safari
Mavugo amefunga mabehewa safari hiyo inaendelea
Hapa ni kiungo mkongwe, Mwinyi Kazimoto Mwitula akimfundishga vitu mdogo wake Jonas Gerald Mkude
Hapa ni kiungo Peter Mwalyanzi (kushoto) akipambana na beki mpya, Hamad Juma kutoka Coastal Union
Kushoto ni winga mwenye kasi, Shizza Kichuya akitafuta maarifa ya kumtoka beki makini, Mohammed Hussein 'Tshabalala'
Joshua signs deal to fight Fury - Hearn
-
Former heavyweight world champion Anthony Joshua has signed to fight Tyson
Fury but will first have a warm-up fight against Kristian Prenga in Riyadh
on 25...
0 comments:
Post a Comment