Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MKUTANO Mkuu wa dharula wa Yanga SC umewafukuza wanachama watatu wa klabu hiyo, Ayoub Nyenzi, Salum Mkemi na Hashim Abdallah.
Mwenyekiti Yussuf Manji aliwaambia wanachama hayuko tayari kufanya kazi na Wajumbe hao wa Kamati ya Utendaji na akaomba wanachama wanaowataka wajitokeze kupiga kura, lakini hakuna aliyeinuka.
Baada ya kurudia kuita mara tatu, Hashim pekee kati ya watatu hao ambaye alikuwepo mkutanoni ukumbi wa Diamond Jubilee, akainuka na kuondoka.
Hashim Abdallah akiondoka ukumbi wa mkutano leo Diamond Jubilee
Hashim akiimaliza meza kuu wakati anaondoka
Hashim akiwaaga ndugu na jamaa mbalimbali wakati anaondoka
Mwanachama mwingine, Siza Lyimo ambaye Manji alitaka aondoke, yeye aliomba msamaha na wanachama wakamsamehe na Mwenyekiti huyo akabariki msamaha huo.
Mkemi na Nyenzi hawakutokea kwenye Mkutano huo.
MKUTANO Mkuu wa dharula wa Yanga SC umewafukuza wanachama watatu wa klabu hiyo, Ayoub Nyenzi, Salum Mkemi na Hashim Abdallah.
Mwenyekiti Yussuf Manji aliwaambia wanachama hayuko tayari kufanya kazi na Wajumbe hao wa Kamati ya Utendaji na akaomba wanachama wanaowataka wajitokeze kupiga kura, lakini hakuna aliyeinuka.
Baada ya kurudia kuita mara tatu, Hashim pekee kati ya watatu hao ambaye alikuwepo mkutanoni ukumbi wa Diamond Jubilee, akainuka na kuondoka.
Hashim Abdallah akiondoka ukumbi wa mkutano leo Diamond Jubilee
Hashim aliondoka kwa furaha tu ukumbini |
Hashim Abdallah (kulia) wakati wa Mkutano leo Diamond Jubilee |
Mkemi na Nyenzi hawakutokea kwenye Mkutano huo.
0 comments:
Post a Comment