Robert Snodgrass (juu) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hull City ikiwalaza 2-1 mabingwa watetezi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa KCOM. Bao lingine la Adama Diomande wakati la Leicester lilifungwa na Riyad Mahrez kwa penalti baada ya Tom Huddlestone kumchezea rafu Demarai Gray PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton bafflingly claims 'genetically modified' Lionel Messi should
have ASTERISK next to his titanic achievements due to the treatment the
World Cup winner received as child for rare growth hormone deficiency
-
Joey Barton has launched his latest tirade in the direction of Lionel Messi
, by claiming that there should be an asterisk to his name due to the
medical t...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment