Robert Snodgrass (juu) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hull City ikiwalaza 2-1 mabingwa watetezi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa KCOM. Bao lingine la Adama Diomande wakati la Leicester lilifungwa na Riyad Mahrez kwa penalti baada ya Tom Huddlestone kumchezea rafu Demarai Gray PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Africa tightens security over anti-migrant protests
-
South African security agencies deployed heavily across major cities on
Tuesday as authorities moved to prevent violence and unrest following an
unoffici...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment