Robert Snodgrass (juu) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Hull City ikiwalaza 2-1 mabingwa watetezi katika mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa KCOM. Bao lingine la Adama Diomande wakati la Leicester lilifungwa na Riyad Mahrez kwa penalti baada ya Tom Huddlestone kumchezea rafu Demarai Gray PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beto jets to Florence for £15m move from Everton as Juve push for Man
United's Joshua Zirkzee: WINDOW WATCH
-
The transfer window closes tomorrow and it's sure to be a busy last few
hours as several clubs look to make big signings before 11pm. Here are
today's late...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment