Mfungaji wa mabao mawili ya Brazil, Gabriel Barbosa katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Denmark kwenye mchezo wa Kundi A Olimpiki soka Rio 2016, akimrukia Nahodha wake, Neymar baada ya kufunga bao la kwanza usiku wa kuamkia leo mjini Salvador. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus na Luan na sasa wenyeji hao watamenyana na Colombia katika Robo Fainali, wakati Denmark itakutana na Nigeria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy hilariously chugs a beer before belting out Journey's 'Don't
Stop Believin' on stage with Shane Lowry after the pair's victory at the
Zurich Classic in New Orleans
-
McIlroy and Lowry came through a playoff to win the competition at TPC
Louisiana, having put it on their respective schedules in a bid to jump up
the FedEx...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment