Mfungaji wa mabao mawili ya Brazil, Gabriel Barbosa katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Denmark kwenye mchezo wa Kundi A Olimpiki soka Rio 2016, akimrukia Nahodha wake, Neymar baada ya kufunga bao la kwanza usiku wa kuamkia leo mjini Salvador. Mabao mengine ya Brazil yalifungwa na Gabriel Jesus na Luan na sasa wenyeji hao watamenyana na Colombia katika Robo Fainali, wakati Denmark itakutana na Nigeria PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kaduna Butchers excited over modernized abattoirs, cold rooms
-
Butchers in Kaduna have expressed excitement as governor Uba Sani
transformed meat preservation and marketing, by installing modern equipment
and cold-ch...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment