Kiungo wa Yanga Veterani, Ally Yussuf 'Tigana' (kushoto) akigombea mpira na mchezaji wa Azam Veterani jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam katika mchezo wa Nusu Fainali wa Kombe la Azam Fresco. Yanga ilishinda 2-1 na sasa itakutana na Mbagala Kuu katika fainali, ambayo imeitoa TFF Kuu
Mfungaji wa mabao yote mawili ya Yanga jana, Gulla Joshua akimtoka mchezaji wa Azam
Beki wa Yanga, Willy Mtendamema (kushoto) akimdhibiti mchezaji wa Azam
Mabeki, Bakari Malima wa Yanga (kulia) na Ramadhani Wasso wa Azam wakiwania mpira wa juu
Beki Eustace Bajwala (kulia) akimshuhudia mchezaji mwenzake, Aziz Hunter akipatiwa huduma ya kwanza uwanjani baada ya kuumia
Kiungo wa Yanga, Thabit Badru Bushako katikati ya wachezaji wa Azam
Mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Hussein 'MMachinga' akimtoka mchezaji wa Azam
Nahodbha wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' alijitahidi kuopambana jana lakini wapi
Kikosi cha kwanza cha Yanga jana
Kikosi cha Azam jana
Revealed: The top six stars in the FWA Footballer of the Year voting as
Phil Foden is crowned the winner - with just TWO foreign players included
-
Foden, 23, has enjoyed his best season to date amid City's push for an
astonishing fourth successive Premier League title, emerging Pep
Guardiola's most im...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment