Mfungaji wa mabao mawili (dakika za 33 na 59) Joel Campbell (kulia) katika ushindi wa 8-0 jana dhidi ya Viking kwenye mchezo wa kirafiki mjini Stavanger, Norway usiku wa jana. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Santi Cazorla dakika ya 50, Theo Walcott dakika ya 53, Michael Haukas aliyejifunga dakika ya 55, Alex Iwobi dakika ya 71 na 81 na Chuba Akpom dakika ya 89, wakati Cazorla pia alikosa penalti dakika ya nne tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Shocking moment footy fan HEADBUTTS security guard
-
A ruckus broke out before the Wests Tigers' clash with Brisbane Broncos in
Sydney , with approximately 20 people involved in a melee in the stands.
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment