Polisi wakizuia mioto iliyokuwa inarushwa uwanjani na mashabiki wa Croatia usiku wa jana Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa wakati timu yao inaingoza 2-1 katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2 na Jamhuri ya Czech katika mchezo wa Kundi D Euro 2016. Mabao ya Croatia yalifungwa na Ivan Perisic na Ivan Rakitic, kabla ya Czech kusawazisha kupitia kwa Milan Skoda na Tomas Necid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves send delegation to Mexico to convince Raul Jimenez to return to
Molineux as World Cup star, 35, leaves Fulham
-
He has had interest from other Premier League sides and Club America but
Wolves have sent a delegation over to Mexico to help convince the centre
forward h...
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment