Polisi wakizuia mioto iliyokuwa inarushwa uwanjani na mashabiki wa Croatia usiku wa jana Uwanja wa Stade Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa wakati timu yao inaingoza 2-1 katika mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2 na Jamhuri ya Czech katika mchezo wa Kundi D Euro 2016. Mabao ya Croatia yalifungwa na Ivan Perisic na Ivan Rakitic, kabla ya Czech kusawazisha kupitia kwa Milan Skoda na Tomas Necid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Verstappen beats Leclerc to Miami sprint pole
-
Red Bull’s Max Verstappen beat Ferrari’s Charles Leclerc to take pole
position for the sprint race at the Miami Grand Prix.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment