• HABARI MPYA

    Monday, May 04, 2015

    WAMBURA APEWA 'MKWANJA' WAKE NA VODACOM KWA KUWA MCHEZAJI BORA FEBRUARI LIGI KUU

    Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi ya Vodacom, Fatuma Abdallah (kushoto) akimkabidhi hundi ya Sh Milioni 1, kiungo wa Coastal Union, Godfrey Wambura (kulia) baada ya kuibuka mchezaji bora wa Februari mwaka huu. Zoezi hilo lilifanyika jana Uwanja wa Mkwakwani, Tanga baada ya mechi baina ya Coastal na Stand United. Coastal ilishinda 3-1.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAMBURA APEWA 'MKWANJA' WAKE NA VODACOM KWA KUWA MCHEZAJI BORA FEBRUARI LIGI KUU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top