Mshambuliaji Romelu Lukaku wa Everton akimuacha chini Danilo Silva wa Dynamo Kiev katika mchezo wa Europa League jana usiku Uwanja wa Goodison Park. Everton ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Steven Naismith na Lukaku, wakati bao la Dynamo lilifungwa na Oleg Gusev. Timu hizo zitarudiana mjini Kiev Alhamsi ijayo, Everton ikihitaji sare ili kwenda Robo Fainali.
Head century drives England closer to Ashes defeat
-
England are pushed towards the precipice of the fastest Ashes series defeat
in more than 100 years as a Travis Head century maintains Australia's grip
on t...
48 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment