• HABARI MPYA

    Friday, March 13, 2015

    LUKAKU AING'ARISHA EVERTON ULAYA

    Lukaku shows a clean pair of heels to Danilo Silva as the Everton frontman begins another attack for the home hopefuls

    Mshambuliaji Romelu Lukaku wa Everton akimuacha chini Danilo Silva wa Dynamo Kiev katika mchezo wa Europa League jana usiku Uwanja wa Goodison Park. Everton ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Steven Naismith na Lukaku, wakati bao la Dynamo lilifungwa na Oleg Gusev. Timu hizo zitarudiana mjini Kiev Alhamsi ijayo, Everton ikihitaji sare ili kwenda Robo Fainali.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AING'ARISHA EVERTON ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top