// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); ROONEY, WELBECK NA STURRIDGE WAANZISHWA PAMOJA DHIDI YA ITALIA, BALOTELLI AANZA AZZURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE ROONEY, WELBECK NA STURRIDGE WAANZISHWA PAMOJA DHIDI YA ITALIA, BALOTELLI AANZA AZZURI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, June 15, 2014

    ROONEY, WELBECK NA STURRIDGE WAANZISHWA PAMOJA DHIDI YA ITALIA, BALOTELLI AANZA AZZURI

    KOCHA Roy Hodgson amewaanzisha pamoja washambuliaji Wayne Rooney, Danny Welbeck na Daniel Sturridge katika mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia wa England na Italia.
    Kinda Rahim Sterling pia ameanzishwa katika mchezo huo wa Kundi D, wakati kwa Italia Mario Balotelli ameanzieha pia.
    Kikosi cha England ni;: Hart, Johnson, Cahill, Jaglielka, Baines, Gerrard, Henderson, Sterling, Rooney, Welbeck and Sturridge
    Italia; Sirigu, Chiellini, Paletta, Barzagli, Darmian, De Rossi, Pirlo, Veratti, Candreva, Marchisio and Balotelli.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ROONEY, WELBECK NA STURRIDGE WAANZISHWA PAMOJA DHIDI YA ITALIA, BALOTELLI AANZA AZZURI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top