// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); BALOTELLI AIANGAMIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA, ITALIA YASHINDA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BALOTELLI AIANGAMIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA, ITALIA YASHINDA 2-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, June 15, 2014

    BALOTELLI AIANGAMIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA, ITALIA YASHINDA 2-1

    ENGLAND imelala mabao 2-1 mbele ya Italia katika mchezo wa Kundi D Kombe la Dunia usiku huu mjini Manaus.
    Claudio Marchisio alianza kuifungia Italia dakika ya 35 kabla ya Daniel Sturridge kusawazisha dakika mbili baadaye akimalizia krosi nzui ya Wayne Rooney.
    Mario Balotelli aliyekuwa mwiba kwa safu ya ulinzi ya England leo, ndiye aliyeifungia bao la ushindi Italia dakika ya 50.
    Bao la maumivu kwa England: Mario Balotelli akishangilia na Marco Verratti baada ya kuifungia Italia bao la ushindi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AIANGAMIZA ENGLAND KOMBE LA DUNIA, ITALIA YASHINDA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top