• HABARI MPYA

    Tuesday, June 17, 2014

    NIGERIA YAPIGA SANA SOKA, LAKINI YASHINDWA KUWAFUNGA IRAN

    Sare ya kwanza; Ashkan Dejagah wa Iran kushoto akikabiliana na beki wa Nigeria, Joseph Yobo katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia usiku huu nchini Brazil. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza katika michuano ya mwaka huu. Nigeria ilicheza soka safi na kutawala mchezo, lakini ikashindwa kuziona nyavu wa Iran.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIGERIA YAPIGA SANA SOKA, LAKINI YASHINDWA KUWAFUNGA IRAN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top