Sare ya kwanza; Ashkan Dejagah wa Iran kushoto akikabiliana na beki wa Nigeria, Joseph Yobo katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia usiku huu nchini Brazil. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza katika michuano ya mwaka huu. Nigeria ilicheza soka safi na kutawala mchezo, lakini ikashindwa kuziona nyavu wa Iran.
Spurs want West Ham's Fernandes after Tonali bid rejected
-
West Ham value Mateus Fernandes at £80m amid interest from Tottenham, who
want a central midfielder this summer and have had a bid rejected for
Newcastle's...
32 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment