Sare ya kwanza; Ashkan Dejagah wa Iran kushoto akikabiliana na beki wa Nigeria, Joseph Yobo katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia usiku huu nchini Brazil. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza katika michuano ya mwaka huu. Nigeria ilicheza soka safi na kutawala mchezo, lakini ikashindwa kuziona nyavu wa Iran.
The incredible comeback of footy player who lost his eye and part of his
skull in horrific on-field incident
-
Suburban AFL player Michael Pisker won't forget the July 2024 clash
against University Blues anytime soon - and with good reason.
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment