Sare ya kwanza; Ashkan Dejagah wa Iran kushoto akikabiliana na beki wa Nigeria, Joseph Yobo katika mchezo wa Kundi F Kombe la Dunia usiku huu nchini Brazil. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza katika michuano ya mwaka huu. Nigeria ilicheza soka safi na kutawala mchezo, lakini ikashindwa kuziona nyavu wa Iran.
UPDATED: FG reveals ranking system for basic, secondary school textbooks
-
From Fred Ezeh, Abuja The Federal Ministry of Education has announced the
introduction of a new ranking system for textbooks used in basic and
secondar...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment