• HABARI MPYA

    Tuesday, June 17, 2014

    DEMPSEY AFUNGA BAO LA KIHISTORIA KOMBE LA DUNIA, INGAWA CHUPU CHUPU ANG'OLEWE PUA NA BOYE

    MSHAMBULIAJI wa Marekani, Clint Dempsey jana amefunga bao ambalo moja kwa moja linakwwnda nafasi ya tano katika orodha ya mabao ya mapema zaidi kwenye historia ya Kombe la Dunia.
    Mshambuliaji huyo wa zamani wa Fulham na Tottenham alifunga bao dekunde ya 29 tu jana, Marekani ikishinda 2-1 mchezo huowa Kundi G mjini Natal, Brazil.
    Lakini Dempsey jana aliumizwa pua na mchezaji wa Ghana, John Boye.

    Shujaa: Dempsey akifurahia baada ya mechi jana

    MABAO YA MAPEMA ZAIDI KOMBE LA DUNIA

    Hakan Sukur (2002): sekunde ya 11 Korea Kusini
    Vaclav Masek (1962): sekunde ya 16 Mexico
    Ernst Lehner (1934): sekunde ya 25  Austria
    Bryan Robson (1982): sekunde ya 27 Ufaransa
    Clint Dempsey (2014): sekunde ya 29 Ghana
    Bernard Lacombe (1978): sekunde ya 30 Italia
    Emile Veinante (1938): sekunde ya 35 Ubelgiji
    Arne Nyberg (1938): sekunde ya 35 Hungary
    Florian Albert (1962): sekunde ya 50 Bulgaria
    Adalbert Desu (1930): sekunde ya 50 PeruDown but not out: The USA forward was left bruised and bloodied after clashing with Ghana's John Boye
    Nusu ang'olewe pua: Mshambuliaji huyo wa Marekani akiwa amelala chini baada ya kuumizwa pua na John Boye wa Ghana
    In the face! Clint Dempsey takes a boot in his face from Ghana defender John Boye after 33minutes
    Hapa ndipo Clint Dempsey alipoumizwa pus na John Boye dakika ya 33
    Claret everywhere: The Us No 8 suffered a bloodied nose but was able to continue playing
    Patch me up! Clint Dempsey oreceives treatment from a member of the US medical staff before resuming play

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DEMPSEY AFUNGA BAO LA KIHISTORIA KOMBE LA DUNIA, INGAWA CHUPU CHUPU ANG'OLEWE PUA NA BOYE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top