Mashabiki wa Yanga SC wakiwa wamenyong'onyea baada ya Ruvu Shooting kuchapwa mabao 3-0 na Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani. Yanga iliiombea Azam ifungwe ili wapate nafasi ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Lakini dua lakuku halikumpata mwewe.
Mashabiki wa Yanga SC waliingia kwa mbwembwe wakiamini Ruvu itawasaidia kumsimamisha Azam
2027: Wike will ensure Atiku fails again – Aide
-
Lere Olayinka, the media aide to Federal Capital Territory (FCT) Minister
Nyesom Wike, has declared that the latter will thwart Atiku Abubakar’s 2027
bid...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment